TAG-CICC

TAG-CICC

Mfumo wa Usimamizi wa Kanisa

www.tag-cicc.or.tz

Mfumo wa kusimamia washirika, idara, kanda, ibada, fedha, na ripoti za TAG-CICC.

Awamu ya kwanza inalenga kusajili washirika, kupanga idara na kanda, kuweka majukumu ya viongozi, na kujenga msingi wa ripoti na fedha.

Awamu 1

Msingi wa ushirika

Sajili mshirika, mpangie kanda, na mfumo utampa idara ya msingi kwa umri na jinsia.

Awamu 2

Ibada na fedha

Sadaka, zaka, michango, kapu, gunia, na ripoti za fedha.

Awamu 3

Kalenda na utekelezaji

Kalenda ya mwaka, utekelezaji wa idara, uidhinishaji, na asilimia ya utekelezaji.